MANENO YA NAHREEL KUHUSU ISHU YA KUTOPATANA NA RAPPER QUICK ROCKA, CHANZO NINI ? STORI ISIKILIZE HAPA



.
.

Kama utakuwa unakumbuka mwaka jana rapper Quick Rocka baada ya kufungua studio yake mpya inayoitwa Switch Records alitangaza kuwa Nahreel ndiye atakuwa mtayarishaji (producer)  wa studio hiyo mpya.
Kilichofuatia ni hiki ambacho kimekuwa kinasikika sana, eti ni kweli mastaa hao hawaelewani? Hizo zilizanza wakati ambao Nahreel aliondoka kwenye studio hiyo na kuamua kufungua ya kwake iitwayo The Industry.
Akizungumza na millardayo.com producer Nahreel alifunguka na kusema; “Kiukweli is true sielewani na Quick Rocka na kwa sababu yeye anadai kuwa mimi niliondoka studio kwake kiswahili bila kumtaarifu.. huenda ni kweli niliondoka hivyo lakini Quick Rocka mimi  hakuniajiri kama mwajiriwa wake Switch Records.. sisi tulikuwa tunafanya kazi kiushikaji na mimi nilikuwa na mipango yangu ya kufungua studio lakini pengine labda jamaa hakupenda kile kitendo cha mimi kuondoka pale“– Nahreel.
.
Hii ni picha ambayo Quick Rock alipost na kutangaza kuwa Nahreel ndiye official producer wa studio yake mpya Switch Records.
Natafuta jinsi ya kukaa naye na kuongea kama binadamu ili tuyaweka haya mambo sawa, nimekosa huo muda kukaa naye kutokana na shughuli za hapa na pale lakini nitamtafuta mwenyewe Quick tuongee tuyamalize“– Nahreel.

MANENO YA NAHREEL KUHUSU ISHU YA KUTOPATANA NA RAPPER QUICK ROCKA, CHANZO NINI ? STORI ISIKILIZE HAPA



.
.

Kama utakuwa unakumbuka mwaka jana rapper Quick Rocka baada ya kufungua studio yake mpya inayoitwa Switch Records alitangaza kuwa Nahreel ndiye atakuwa mtayarishaji (producer)  wa studio hiyo mpya.
Kilichofuatia ni hiki ambacho kimekuwa kinasikika sana, eti ni kweli mastaa hao hawaelewani? Hizo zilizanza wakati ambao Nahreel aliondoka kwenye studio hiyo na kuamua kufungua ya kwake iitwayo The Industry.
Akizungumza na millardayo.com producer Nahreel alifunguka na kusema; “Kiukweli is true sielewani na Quick Rocka na kwa sababu yeye anadai kuwa mimi niliondoka studio kwake kiswahili bila kumtaarifu.. huenda ni kweli niliondoka hivyo lakini Quick Rocka mimi  hakuniajiri kama mwajiriwa wake Switch Records.. sisi tulikuwa tunafanya kazi kiushikaji na mimi nilikuwa na mipango yangu ya kufungua studio lakini pengine labda jamaa hakupenda kile kitendo cha mimi kuondoka pale“– Nahreel.
.
Hii ni picha ambayo Quick Rock alipost na kutangaza kuwa Nahreel ndiye official producer wa studio yake mpya Switch Records.
Natafuta jinsi ya kukaa naye na kuongea kama binadamu ili tuyaweka haya mambo sawa, nimekosa huo muda kukaa naye kutokana na shughuli za hapa na pale lakini nitamtafuta mwenyewe Quick tuongee tuyamalize“– Nahreel.

HAYA NDIO MANENO ALIYOSEMA KARDINALI PENGO KUHUSU WALAKA ULIOSAMBAZWA KATIKA MAKANISA NCHINI.

Waachieni waumini waamue- Kardinal Pengo

 
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema maaskofu hawana mamlaka ya kuwaamulia au kuwalazimisha waumini wao juu ya kuikubali au kuikataa Katiba inayopendekezwa.

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Kardinali Pengo amesema hayo jana Jijini Dar es Salaam wakati akifungua mafunzo ya Wanawake Wakatoliki Tanzania WAMATA, na kusema kufanya hivyo ni kuingilia uhuru wao hivyo ni vyema wakaachwa ili waamue wenyewe.
Kardinali Pengo amesema kuwa waraka uliotolewa na Jukwaa la Wakristo Tanzania PCT na Baraza la Mkanisa ya kipentekoste nchini kutoiunga mkono Katiba Inayopendekezwa ameusoma na ana uheshimu waraka huo lakini unaleta utengano katika taifa juu ya Wakristo kuchukua uamuzi dhidi ya Serikali.
Ameongeza kuwa waliotoa Waraka huo ni watu wakubwa waliokabidhiwa madaraka katika kanisa ambao hawapaswi kupuuzwa lakini matamko hayo yanaashiria mgawanyiko wa taifa kati ya wakristo na wasio kuwa wakristo.
Aidha Karnadali Pengo ameongeza kuwa pamoja na mambo mengine amesema maaskofu kuwa na madaraka ndani ya kanisa hawana mamlaka ya kuwalazimisha waamini kutenda jambo, kinyume na lililoko ndani ya dhamira zao ni muhimu waachwe watende jishini Mungu anavyowaongoza kwenye dhamira.
Msimamo wa Kardinali ni kuwaachia waumini wakapige kura baada ya kuisoma kwa kina Katiba Inayopendekezwa na kutafakari kwa kina na kupata maongozi ya Mwenyezi Mungu na si kwaamulia wafanye nini wasifanywe kama watoto.

HAYA NDIO MANENO ALIYOSEMA KARDINALI PENGO KUHUSU WALAKA ULIOSAMBAZWA KATIKA MAKANISA NCHINI.

Waachieni waumini waamue- Kardinal Pengo

 
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema maaskofu hawana mamlaka ya kuwaamulia au kuwalazimisha waumini wao juu ya kuikubali au kuikataa Katiba inayopendekezwa.
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Kardinali Pengo amesema hayo jana Jijini Dar es Salaam wakati akifungua mafunzo ya Wanawake Wakatoliki Tanzania WAMATA, na kusema kufanya hivyo ni kuingilia uhuru wao hivyo ni vyema wakaachwa ili waamue wenyewe.
Kardinali Pengo amesema kuwa waraka uliotolewa na Jukwaa la Wakristo Tanzania PCT na Baraza la Mkanisa ya kipentekoste nchini kutoiunga mkono Katiba Inayopendekezwa ameusoma na ana uheshimu waraka huo lakini unaleta utengano katika taifa juu ya Wakristo kuchukua uamuzi dhidi ya Serikali.
Ameongeza kuwa waliotoa Waraka huo ni watu wakubwa waliokabidhiwa madaraka katika kanisa ambao hawapaswi kupuuzwa lakini matamko hayo yanaashiria mgawanyiko wa taifa kati ya wakristo na wasio kuwa wakristo.
Aidha Karnadali Pengo ameongeza kuwa pamoja na mambo mengine amesema maaskofu kuwa na madaraka ndani ya kanisa hawana mamlaka ya kuwalazimisha waamini kutenda jambo, kinyume na lililoko ndani ya dhamira zao ni muhimu waachwe watende jishini Mungu anavyowaongoza kwenye dhamira.
Msimamo wa Kardinali ni kuwaachia waumini wakapige kura baada ya kuisoma kwa kina Katiba Inayopendekezwa na kutafakari kwa kina na kupata maongozi ya Mwenyezi Mungu na si kwaamulia wafanye nini wasifanywe kama watoto.

MASTAA KWENYE HIZI PICHAZ KUTOKA TAMASHA LILILOFANYIKA UWANJA WA AMANI Z’BAR

IMG_7155_resized
Siku ya jana limefanyika tamasha kubwa visiwani Zanzibar, ambalo limeanza rasmi na baadae litafanyika mikoa mingine.. Hili ni tamasha ambalo linahamasisha nafasi ya kijana kwenye kufanya mabadiliko katika kushiriki Uchaguzi Mkuu na pia kuijua Katiba ya Tz.
Hapa nna PICHAZ toka Zanzibar kwenye Tamasha hilo, Nuh Mziwanda, Shilole, Barnaba, Baby J, Nikki wa Pili, ni baadhi ya wasanii ambao walikuwepo katika uwanja wa Amani Z’bar kwenye Tamasha hilo.
IMG_7175_resized
IMG_7214_resized
IMG_7224_resized
IMG_7428_resized
IMG_7442_resized
IMG_7447_resized
IMG_7469_resized
IMG_7155_resized
IMG_7181_resized
IMG_7195_resized
IMG_7204_resized
IMG_7217_resized
IMG_7383_resized
IMG_7412_resized
IMG_7415_resized

MASTAA KWENYE HIZI PICHAZ KUTOKA TAMASHA LILILOFANYIKA UWANJA WA AMANI Z’BAR

IMG_7155_resized
Siku ya jana limefanyika tamasha kubwa visiwani Zanzibar, ambalo limeanza rasmi na baadae litafanyika mikoa mingine.. Hili ni tamasha ambalo linahamasisha nafasi ya kijana kwenye kufanya mabadiliko katika kushiriki Uchaguzi Mkuu na pia kuijua Katiba ya Tz.
Hapa nna PICHAZ toka Zanzibar kwenye Tamasha hilo, Nuh Mziwanda, Shilole, Barnaba, Baby J, Nikki wa Pili, ni baadhi ya wasanii ambao walikuwepo katika uwanja wa Amani Z’bar kwenye Tamasha hilo.
IMG_7175_resized
IMG_7214_resized
IMG_7224_resized
IMG_7428_resized
IMG_7442_resized
IMG_7447_resized
IMG_7469_resized
IMG_7155_resized
IMG_7181_resized
IMG_7195_resized
IMG_7204_resized
IMG_7217_resized
IMG_7383_resized
IMG_7412_resized
IMG_7415_resized

TASWIRA YA BONANZA LA WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI MOROGORO

 Wafanyakazi wa kampuni ya Tanzania Tobacco Lifes Company TLTC na Tanzania Tobacco Procesing Company TTPL wakishindana kunywa soda na kula mkate wakati wa bonanza la siku ya familia iliyofanyika Morogoro..
Wafanyakazi wa kike wa kampuni ya Tanzania Tobacco Lifes Company TLTC na Tanzania Tobacco Procesing Company TTPL wakishindana kuvuta kamba wakati wa bonanza la siku ya familia iliyofanyika wiki iliyopita katika viwanja vya Magadu
 Wafanyakazi  wa kampuni ya Tanzania Lefes Tobacco Company TLTC na Tanzania Tobacco Procesing Company TTPL wakishindana kukuna nazi wakazi wa bananza la siku ya familia ya kampmuni hizo yaliyofanyika wiki iliyopita katika viwanja vya magadu Manispaa ya Morogoro.  Manispaa ya Morogoro.

TASWIRA YA BONANZA LA WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI MOROGORO

 Wafanyakazi wa kampuni ya Tanzania Tobacco Lifes Company TLTC na Tanzania Tobacco Procesing Company TTPL wakishindana kunywa soda na kula mkate wakati wa bonanza la siku ya familia iliyofanyika Morogoro..
Wafanyakazi wa kike wa kampuni ya Tanzania Tobacco Lifes Company TLTC na Tanzania Tobacco Procesing Company TTPL wakishindana kuvuta kamba wakati wa bonanza la siku ya familia iliyofanyika wiki iliyopita katika viwanja vya Magadu
 Wafanyakazi  wa kampuni ya Tanzania Lefes Tobacco Company TLTC na Tanzania Tobacco Procesing Company TTPL wakishindana kukuna nazi wakazi wa bananza la siku ya familia ya kampmuni hizo yaliyofanyika wiki iliyopita katika viwanja vya magadu Manispaa ya Morogoro.  Manispaa ya Morogoro.

PICHA ZA TUKIO LA MOTO ULIOWAKA LEO KWENYE HOSTEL ZA WANAFUNZI DAR ES SALAAM

.
Muda mfupi uliopita  leo March 16 kumetokea tukio la moto kwenye bweni la wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa kiongozi wa kikosi cha zima moto Bw.Juma Lundawa kutoka wilaya ya kinondoni ameeleza kuwa chanzo cha ajali hiyo ya moto imetokana na shoti ya umeme kwenye bweni la wasichana (Block B) katika chumba ambacho kinasadikika kuhifadhi magodoro ya wanafunzi.
Wanafunzi walioshuhudia moto huo wamesema moto ulianza majira ya saa mbili asubuhi huku jitihada za kuuzima moto huo zikiendelea mpaka kikosi cha zima moto kilipofika kuudhibiti moto huo.
Majeruhi wa tukio hilo ni wanafunzi wawili ambao wamepelekwa katika hospital ya kitaifa Muhimbili kupata huduma ya matibabu.
Hapa ni picha kutoka eneo hilo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.