Lyrics (Mashairi)

Lyrics (Mashairi)
Diamond




Kwanza mapenzi safari, ujana ni maji ya moto
walinenaga zamani, mhhh
Pili tumetoka mbali, oh matatizo changamoto
ndo visa visa fulani, heeey
Oh, tatu kidonda chako kwangu maradhi
kwani tu usononekapo kwangu simanzi, ayi
Tatu kidonda chako kwangu maradhi
Oh yaani usononekapo kwangu simanzi

kwa mahaba uliyonipa, nimenogewa
vurugu patashika, ayi punguza kidogo
na mengine kadhalika, mtoto si unanielewa?
hapo hapo uliposhika, ukiongeza kidogo
mi mwenzako nitaumia

You're my number one
My sweetie sweetie
My number one
my baby-o
You're my number one
ah, my Darling!
My number one
Roho yangu mama

Na nna wivu sikatai
maana uchugu wa mapenzi naujua
so usije kunilaghai
Nikaja kuzama ukanizingua

Na nna wivu sikatai
maana uchugu wa mapenzi naujua
so usije kunilaghai
Nikaja kuzama ukanizingua

now show me how they do.....
now show me how you do....

baby you..

You're my number one
My sweetie sweetie
My number one
my baby-o
You're my number one
ah, my Darling!
My number one
Roho yangu mama

You're my number one
My sweetie sweetie
My number one
my baby-o
You're my number one
ah, my Darling!
My number one
oh Roho yangu mama

baby you're.... you are...

 Mashairi yamechapwa na Dj Evans

Powered by
                                                  http://www.eaglentertainment.blogspot.com
Ben Pol


kila siku n'napoamka, ninapoianza siku mpya
namshukuru Mola kwa kunilinda, nafasi nyingine nikapewa
labda nikijutuma na mi, iko siku wataniletea
nami niwe na vyangu, niepuke ya walimwengu

kukicha ni maneno maneno, wenzangu humuishi kusema
nami sijali yenu maneno, mwanadamu amezaliwa anasema
kukicha ni maneno maneno, wenzangu humuishi kusema
nami sijali yenu maneno, mwanadamu amezaliwa anasema
eh eh oh

kukosa kitu leo sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayopitia
kukosa kitu kwangu sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayopitia

hey
hawajui kuhisi kwao upendo, amani na furaha siku zote
maisha yetu ni uadui tu, hawajui dunia tunaipita tu
na kwenye maisha kuna kuanguka, ila mi sitachoka nitainuka
mpaka siku itakapofika, ndoto zangu zote kukamilika
na kwenye maisha kuna kuanguka, ila mi sitachoka nitainuka
mpaka siku itakapofika, ndoto zangu zote kukamilika

mhh
kukicha ni maneno maneno, wenzangu humuishi kusema
nami sijali yenu maneno, mwanadamu amezaliwa anasema
kukicha ni maneno maneno, wenzangu humuishi kusema
nami sijali yenu maneno, mwanadamu amezaliwa anasema
hey hey oh

kukosa kitu leo sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia
kukosa kitu kwangu sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia

kukosa kitu leo sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho

na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia
kukosa kitu kwangu sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia

kukosa kitu leo sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho

na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapitia
kukosa kitu kwangu sio tatizo, nikitafuta nitapata kesho
na mimi mommy ataniletea, pamoja na magumu ninayapiti

 
Mashairi yamechapwa na Dj Evans
Powered by
http://www.eaglentertainment.blogspot.com
Lyrics (Mashairi) 

No comments:

Post a Comment