HIVI NDIVYO TULIVYOHITIMISHA SAFARI YA MWISHO DUNIANI KWA MPENDWA WETU GODFREY MAKOYE.

Leo ndio siku ya mwisho kwa safari ya mpendwa wetu GODFREY MAKOYE  aliepumzishwa katika makaburi ya kikristo MISSION sengerema na mungu ampumzishe kwa amani amina.

                    Watu mbalimbali wakiaga mwili wa marehumu nyumbani kwao ibisabageni
                                            Mwili wa marehemu GODFREY MAKOYE ukiwekwa kabulini.















       Ndugu, jamaa na marafiki wakiweka udongo kaburini tayari kwa kuufukia.

No comments:

Post a Comment