TAZAMA PICHA MKUU WA WILAYA YA SENGEREMA AKIFANYA USAFI KATIKA DAMPO LILILOPO STENDI KUU YA MABASI SIKU YA JUMAMOSI YA TAREHE 27/08/2016.


       Mkuu wa wilaya ya sengerema alievaa kofia nyeupe na track ya blue akitoa uchafu katika dampo.




    Mwenyekiti wa halmashauri ya sengerema mh YANGA MAKAGA alieva jezi ya njano na track nyeusi akipakia uchafu katika trekta.













No comments:

Post a Comment