Sherehe hizi zilianza kwa maandamano yaliyoanzia katika soko kuu la Sengerema.
Burudani mbalimbali zilikuwepo kuwaburudisha wageni na wananchi waliohudhulia sherehe hizo.
Mgeni rasmi Mh, Hamis Kigwangala akiwa kabeba kichanga.
Naibu Waziri Mh, Hamis Kigwangala akiwahutubia wananchi na wageni walikwa.
No comments:
Post a Comment