Naibu
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, vijana , utamaduni na Michezo Prof. 
Elisante Ole Gabriel akifafanua jambo wakati alipokutana na Balozi wa 
Tanzania nchini Nigeria Mhe. Balozi Ole Njoolay kuhusu ushirikiano baina
 ya Tanzania na Nigeria katika sekta ya Filamu na Vijana
 Mheshimiwa
 Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Balozi Ole Njoolay (kushoto) akiwa 
ameshika zawadi ya kinyago aliyopewa na Mheshimiwa Naibu Katibu Mkuu 
Prof. Elisante Ole Gabriel Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na 
Michezo ili kudumisha ushirikiano baina ya Tanzania na Nigeria katika 
sekta ya Filamu na Vijana
Mheshimiwa
 Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Balozi Ole Njoolay (kushoto) akiwa 
ameshika zawadi ya kinyago aliyopewa na Mheshimiwa Naibu Katibu Mkuu 
Prof. Elisante Ole Gabriel Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na 
Michezo ili kudumisha ushirikiano baina ya Tanzania na Nigeria katika 
sekta ya Filamu na Vijana 
 Mheshimiwa
 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana ,Utamaduni na Michezo wa 
Mheshimiwa Prof. Elisante Ole Gabriel wa pili kutoka kulia akiwa katika 
picha ya pamoja na Mheshimiwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria. Mhe. 
Balozi Ole Njoolay Viongozi hao waliongea kuhusu kudumisha ushirikiano 
katika sekta ya Filamu na Vijana .Kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa 
Maendeleo ya Vijana James Kajugusi na wa kwanza kushoto ni Katibu 
Mtendaji wa Bodi ya Filamu Joyce Fisso Picha na Benjamin Sawe, WHVUM
Mheshimiwa
 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana ,Utamaduni na Michezo wa 
Mheshimiwa Prof. Elisante Ole Gabriel wa pili kutoka kulia akiwa katika 
picha ya pamoja na Mheshimiwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria. Mhe. 
Balozi Ole Njoolay Viongozi hao waliongea kuhusu kudumisha ushirikiano 
katika sekta ya Filamu na Vijana .Kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa 
Maendeleo ya Vijana James Kajugusi na wa kwanza kushoto ni Katibu 
Mtendaji wa Bodi ya Filamu Joyce Fisso Picha na Benjamin Sawe, WHVUM 
 
 
No comments:
Post a Comment