Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga (katikati
walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mafunzo kwa
wawezeshaji ngazi ya taifa kuhusu tukio la utambuzi wa kaya maskini
linalotarajiwa kuanza Novemba 10 katika halmashauri 16. Wengine (walioketi) ni
Mkurugenzi wa fedha wa TASAF Bw. Isaya Wambura (wa pili kushoto), meneja
masijala ya walengwa Philipine Mmari (wa kwanza kushoto), Mtaalamu wa Mafunzo
Mercy Mandawa (wa pili kulia) na Meneja Rasilimali watu Tecla Makundi.
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga (katikati
walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiri wa mafunzo kwa
wawezeshaji ngazi ya taifa kuhusu tukio la utambuzi wa kaya maskini.
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga (aliyesimama) akitoa
neno la ufunguzi wa warsha ya mafunzo kwa wawezeshaji ngazi ya taifa (hawapo
pichani) kuhusu tukio la utambuzi wa kaya maskini linalotarajiwa kuanza Novemba
10 katika halmashauri 16 nchini . Aliyekaa kushoto ni Mkurugenzi wa fedha wa TASAF Bw. Isaya
Wambura.
Afisa Ufuatiliaji na tathmini wa TASAF Bw. Paul Luchemba akitoa
mada juu ya malengo ya warsha ya mafunzo
kwa wawezeshaji ngazi ya taifa kuhusu tukio la utambuzi wa kaya maskini katika
ukumbi wa AMECEA Kurasini Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya washiriki wa warsha ya mafunzo kwa wawezeshaji ngazi ya taifa kuhusu tukio la utambuzi wa
kaya maskini unaotekelezwa na TASAF kupitia Mpango wa kunusuru kaya
maskini PSSN wakifuatilia mjadala baada
ya uwasilishaji wa madajuu ya mwongozo wa mpango katika ukumbi wa TEC-Kurasini
jijini DSM
Baadhi ya washiriki wa warsha ya mafunzo kwa wawezeshaji ngazi ya taifa kuhusu tukio la utambuzi wa
kaya maskini unaotekelezwa na TASAF kupitia mpango wa kunusuru kaya maskini
PSSN wakifuatilia maelekezo toka kwa wawezeshaji.
Baadhi ya washiriki wa warsha ya mafunzo kwa wawezeshaji ngazi ya taifa kuhusu tukio la utambuzi wa
kaya maskini unaotekelezwa na TASAF wakisikiliza
mada zinazowasilishwa na wawezeshaji wa warsha hiyo kwenye ukumbi wa TEC jijini
DSM
.png)
.png)

.png)
.png)
.png)
.png)
No comments:
Post a Comment