Mkurugenzi
 Msaidizi wa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, 
Utamaduni na Michezo Dkt. Steven Kissuiakizungumza katika mdahalo wa 
vijana leo mkoani Tabora ambapo mdahalo huo umefanyika ikiwa ni 
kuadhimisha Wiki ya Vijana ambayo kitaifa inafanyika mkoani hapa.
Mchumi
 Mkuu Sekretariat ya Mkoa wa Tabora Bw.Nicholas Kileka akitoa mada 
kuhusu ijue Tabora leo mkoani humo wakati wa mdahalo uliohusisha vijana 
mbalimbali wanaoshiriki maadhimisho ya Wiki ya Vijana ambayo kitaifa 
yanafanyika mkoani humo.
Afisa 
Vijana Mwandamizi kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo 
Florent Karist akitoa mada kuhusu maudhui ya Wiki ya Vijana leo mkoani 
humo wakati wa mdahalo uliohusisha vijana mbalimbali wanaoshiriki 
maadhimisho ya Wiki ya Vijana ambayo kitaifa yanafanyika mkoani humo.



No comments:
Post a Comment