
Staa wa Bongo Fleva,Sheta alijikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa maji ya ukoko na wasanii wenzake siku ya kuzaliwa kwake jana.
Kisanga
hicho kilimkumba jana wakati alipohudhulia futari iliyoandaliwa na
Tanzania House of Tatent(THT)baada ya watu kufuturu nay eye kuingia
ndipo walipomuita pembeni kama wanaongea naye kilichotokea hapo ni
kumwagiwa maji ya ukoko yaliyokuwa yamelowekwa kwenye masufuria.
No comments:
Post a Comment