Mtaalam wa kutoa damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Peter Chami (kushoto) akimtoa damu mmoja kati ya wafanyakazi wa Benki ya Exim, ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Uchangiaji Damu Duniani inayofanyika kila mwaka ifikapo Juni 14.
Meneja Masoko Msaidizi wa Benki ya Exim Bi Anita Goshashy (Kushoto) akichukuliwa vipimo kabla ya kuchangia damu. Benki hiyo inaendesha kampeni ya kuchangia damu kila mwaka katika maadhimisho ya Siku ya Uchangiaji Damu Duniani inayoadhimishwa kila mwaka ifikapo Juni 14.
Wafanyakazi wa Benki ya Exim katika picha ya pamoja wakati wa kampeni ya uchangiaji damu inayofanywa na Benki hiyo kila mwaka ili kuadhimisha Siku ya Uchangiaji Damu Duniani inayofanyika kila ifikapo Juni 14
No comments:
Post a Comment