Mtu wangu wa usiku wa February 19 Staa wa bongo fleva na mmiliki wa mdundo wa ‘One more night‘ Jux aliidondosha burudani kwa mashabiki wake wa Iringa, katika ukumbi wa Club La-Parte.
Tayari nimekusogezea pichaz 12 kukuonyesha kilivyohappen pande hizo..
No comments:
Post a Comment