KUPUNGUZA UMASIKINI KUENDELEA KUWA LENGO KUU LA MILENIA- UN
Ofisa Habari Umoja wa Mataifa (UN), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza
na washiriki wa Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini
2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wananchi waslioshiriki katika Uzinduzi wa Kampeni ya Chukua
Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali walioshirii atika Uzinduzi wa
Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar
es Salaam.
Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali wakiwakatika maumbo ya kuunda
neno '2015' kuashiria uzinduzi wa Kampeni ya Chukua Hatua Dhidi ya
Umasikini 2015, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment