MISA TANZANIA YAKUTANA NA MAAFISA HABARI KUJADILI CHANGAMOTO ZA UTOAJI TAARIFA


Afrika(MISATAN) Bwana Andrew Marawiti  akizungumza jambo wakati akifungua kongamano na maafisa habari wa taasisi za serikali zilizofanyika jana jijini Dar es Salaam.

 

Na Mwandishi wetu

Maafisa habari mbalimbali
kutoka wizara na mihimili tofauti ya nchi, jana walikutana katika hoteli ya JB
Belmont hapa Dar es Salaam kujadili changamoto wanazo kumbana nazo wakati kwa
kutoa taarifa kwa wananchi.

Kongamano hilo linafuatia
matokeo ya utafiti wa upatikanaji taarifa kwenye taasisi za umma uliofanywa na
Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) nakuzinduliwa rasmi siku
ya tarehe 28 Septemba, ambayo pia ni Siku ya Kimataifa ya Haki ya Kupata
Taarifa.

Miongoni mwa taasisi
zilizoshiriki katika kongamano hilo ni Bunge, Mahakama, Wizara ya Katiba na
Sheria, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wizara ya Nishati na Madini,
Idara ya Habari Maelezo, Mamlaka ya Taifa ya Vitambulisho (NIDA) na Idara ya
Taifa ya Takwimu. Wizara za Afya na Mambo ya Nje hazikuweza kuwakilishwa licha
ya kupata mwaliko. 


 Organization of Legal Assistance-nola)  Bwana James Malenga akisisitiza jambo alipokuwa anawasilisha mada yake kwenye kongamano hilo la maafisa habari wa taasisi za kiserikali lililoandaliwa na Misa-Tanzania.


Gasirigwa akitoa ufafanuzi kwenye mada aliyokuwa anaiwasilisha kwenye kongamano la maafisa habari wa taasisi za kiserikali(hawapo picha)  


anazozipata anapokuwa anakwenda taasisi na idara mbalimbali za serikali kupeleka barua ama maombi ya taarifa.


yake ilivyopokea Tuzo ya Kufuli na ambavyo imekuwa chachu ya mabadiliko katika kutoa taarifa kwa umma.


Nyantori akielezea changamoto za utoaji taarifa katika taasisi na idara za serikali.




Maafisa habari wakifuatilia kwa umakini mada ya Umuhimu wa Kutoa/Kupata

Taarifa serikalini kutoka kwa mwanasheria wa kujitegemea Bwana James Marenga.


Bwana Andrew Marawiti  akitoa shukrani wa wageni waliofika kwenye kongamano hilo.

No comments:

Post a Comment